CARRICK KUVAA KITAMBAA CHA UNAHODHA UNITED
Wayne Rooney anatarajiwa kutua Everton majira ya
joto, na nafasi yake ya unahodha inaweza kuchukuliwa na Michael Carrick
akisaidiana na Herrera
Nahodha huyo wa muda mrefu wa United anatarajiwa kujiunga na klabu ya utotoni Everton siku chache zijazo, hivyo atahitimisha kipindi cha miaka 13 alichodumu Old Trafford - ambapo mitatu katika hiyo amekuwa kiongozi dimbani.
Leave a Comment